2 Samweli 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwanamke huyo akasema: “Kwa nini, basi, umefikiria kuwatendea watu wa Mungu jambo kama hilo?+ Mfalme akisema jambo kama hilo, anajitia katika hatia, kwa sababu mfalme hamrudishi mwana wake aliyefukuzwa.+
13 Mwanamke huyo akasema: “Kwa nini, basi, umefikiria kuwatendea watu wa Mungu jambo kama hilo?+ Mfalme akisema jambo kama hilo, anajitia katika hatia, kwa sababu mfalme hamrudishi mwana wake aliyefukuzwa.+