2 Samweli 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha Yoabu akamwambia mtu fulani Mkushi:+ “Nenda, umwambie mfalme mambo uliyoona.” Kwa hiyo Mkushi huyo akamwinamia Yoabu na kukimbia.
21 Kisha Yoabu akamwambia mtu fulani Mkushi:+ “Nenda, umwambie mfalme mambo uliyoona.” Kwa hiyo Mkushi huyo akamwinamia Yoabu na kukimbia.