2 Samweli 18:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini mfalme akamuuliza huyo Mkushi: “Je, kijana Absalomu hajambo?” Ndipo Mkushi akajibu: “Maadui wote wa bwana wangu mfalme na wote waliokuasi ili kukudhuru na wawe kama huyo kijana!”+
32 Lakini mfalme akamuuliza huyo Mkushi: “Je, kijana Absalomu hajambo?” Ndipo Mkushi akajibu: “Maadui wote wa bwana wangu mfalme na wote waliokuasi ili kukudhuru na wawe kama huyo kijana!”+