2 Samweli 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Papo hapo Abishai+ mwana wa Seruya+ akasema: “Je, Shimei hapaswi kuuawa kwa sababu hii, kwa kuwa alimtukana mtiwa-mafuta wa Yehova?”+
21 Papo hapo Abishai+ mwana wa Seruya+ akasema: “Je, Shimei hapaswi kuuawa kwa sababu hii, kwa kuwa alimtukana mtiwa-mafuta wa Yehova?”+