1 Wafalme 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo Bath-sheba akaingia kwa mfalme, katika chumba chake cha faragha. Mfalme alikuwa amezeeka sana, na Abishagi,+ Mshunamu, alikuwa akimhudumia mfalme.
15 Kwa hiyo Bath-sheba akaingia kwa mfalme, katika chumba chake cha faragha. Mfalme alikuwa amezeeka sana, na Abishagi,+ Mshunamu, alikuwa akimhudumia mfalme.