-
1 Wafalme 1:30Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 kama nilivyokuapia kwa jina la Yehova Mungu wa Israeli, nikisema, ‘Sulemani mwana wako atakuwa mfalme baada yangu, na ndiye atakayeketi kwenye kiti changu cha ufalme baada yangu!’ hivyo ndivyo nitakavyofanya siku ya leo.”
-