1 Wafalme 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Sulemani alipoamka, aligundua kwamba ilikuwa ndoto. Kisha akaenda Yerusalemu, akasimama mbele ya sanduku la agano la Yehova, akatoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika+ na kuwaandalia karamu watumishi wake wote.
15 Sulemani alipoamka, aligundua kwamba ilikuwa ndoto. Kisha akaenda Yerusalemu, akasimama mbele ya sanduku la agano la Yehova, akatoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika+ na kuwaandalia karamu watumishi wake wote.