1 Wafalme 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Geberi mwana wa Uri, katika nchi ya Gileadi,+ nchi ya Sihoni+ mfalme wa Waamori, na ya Ogu+ mfalme wa Bashani. Kulikuwa pia na msaidizi mmoja aliyewasimamia wasaidizi hao wengine wote nchini.
19 Geberi mwana wa Uri, katika nchi ya Gileadi,+ nchi ya Sihoni+ mfalme wa Waamori, na ya Ogu+ mfalme wa Bashani. Kulikuwa pia na msaidizi mmoja aliyewasimamia wasaidizi hao wengine wote nchini.