1 Wafalme 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mbao za mierezi zilizokuwa ndani ya nyumba hiyo zilikuwa na michongo ya vibuyu+ na maua yaliyochanua.+ Sehemu yote ilifunikwa kwa mbao za mierezi; hakuna jiwe ambalo lilionekana.
18 Mbao za mierezi zilizokuwa ndani ya nyumba hiyo zilikuwa na michongo ya vibuyu+ na maua yaliyochanua.+ Sehemu yote ilifunikwa kwa mbao za mierezi; hakuna jiwe ambalo lilionekana.