1 Wafalme 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nilikuinua kutoka mavumbini na kukufanya kuwa kiongozi wa watu wangu Waisraeli,+ lakini uliendelea kutembea katika njia ya Yeroboamu na kusababisha watu wangu Waisraeli watende dhambi hivi kwamba walinikasirisha kwa dhambi zao.+
2 “Nilikuinua kutoka mavumbini na kukufanya kuwa kiongozi wa watu wangu Waisraeli,+ lakini uliendelea kutembea katika njia ya Yeroboamu na kusababisha watu wangu Waisraeli watende dhambi hivi kwamba walinikasirisha kwa dhambi zao.+