-
2 Wafalme 1:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Wakamjibu: “Kuna mtu aliyekuja kukutana nasi, akatuambia, ‘Nendeni, rudini kwa mfalme aliyewatuma mkamwambie, “Yehova anauliza hivi: ‘Je, unawatuma wajumbe waende kutafuta ushauri kutoka kwa Baal-zebubu mungu wa Ekroni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli? Kwa hiyo, hutatoka katika kitanda unacholalia, kwa maana hakika utakufa.’”’”+
-