25 Wakabomoa majiji, na kila mtu akatupa jiwe katika kila shamba zuri, na kulijaza mawe; wakaziba kila chemchemi ya maji+ na kuukata kila mti mzuri.+ Mwishowe ni kuta za mawe za jiji la Kir-haresethi+ pekee zilizobaki, na watu wenye makombeo wakalizunguka na kuliangamiza.