-
2 Wafalme 5:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Ndipo Naamani akakasirika, akaanza kuondoka akisema: “Nilisema moyoni mwangu, ‘Atatoka na kunijia na kusimama hapa na kuliita jina la Yehova Mungu wake, akitikisa mkono wake kwenda mbele na nyuma juu ya ukoma ili auponye.’
-