-
2 Wafalme 5:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Lakini Yehova anisamehe mimi mtumishi wako kwa jambo hili moja: Bwana wangu anapoingia katika nyumba ya* Rimoni ili kusujudu humo, yeye huegemea mkono wangu, kwa hiyo ninalazimika kusujudu katika nyumba ya Rimoni. Nitakapokuwa nikisujudu katika nyumba ya Rimoni, tafadhali, naomba Yehova anisamehe mimi mtumishi wako kwa kufanya jambo hilo.”
-