2 Wafalme 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha mmoja wa watumishi wake akajibu: “Hakuna yeyote miongoni mwetu, bwana wangu mfalme! Nabii Elisha aliye Israeli ndiye humwambia mfalme wa Israeli mambo unayosema katika chumba chako mwenyewe cha kulala.”+
12 Kisha mmoja wa watumishi wake akajibu: “Hakuna yeyote miongoni mwetu, bwana wangu mfalme! Nabii Elisha aliye Israeli ndiye humwambia mfalme wa Israeli mambo unayosema katika chumba chako mwenyewe cha kulala.”+