2 Ndipo kamanda msaidizi ambaye mfalme alimtegemea akamwambia hivi mtu wa Mungu wa kweli: “Hata Yehova akiyafungua malango ya mbinguni ya mafuriko, je, kweli jambo hilo linaweza kutokea?”+ Ndipo Elisha akamwambia, “Utaona kwa macho yako mwenyewe,+ lakini hutakula vyakula hivyo.”+