2 Wafalme 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mara moja wakaondoka na kukimbia katika giza la jioni, wakaacha mahema yao, farasi wao, punda wao, na kambi yote kama ilivyokuwa, wakakimbia ili kuokoa maisha yao.*
7 Mara moja wakaondoka na kukimbia katika giza la jioni, wakaacha mahema yao, farasi wao, punda wao, na kambi yote kama ilivyokuwa, wakakimbia ili kuokoa maisha yao.*