-
2 Wafalme 7:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Basi wakaenda na kuwaita kwa sauti walinzi wa malango ya jiji na kuwaambia: “Tulienda kwenye kambi ya Wasiria, lakini hakukuwa na mtu yeyote huko—hatukusikia sauti ya yeyote. Kulikuwa tu na farasi na punda waliofungwa na mahema yaliyoachwa kama yalivyokuwa.”
-