12 Mara moja mfalme akaamka usiku na kuwaambia watumishi wake: “Acheni niwaambie yale ambayo Wasiria wametutendea. Wanajua kwamba tuna njaa,+ kwa hiyo walitoka kambini na kujificha shambani, wakisema, ‘Watatoka jijini, nasi tutawakamata wakiwa hai na kuingia jijini.’”+