2 Wafalme 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo watu wakatoka na kuipora kambi ya Wasiria, hivi kwamba sea moja ya unga laini ikawa na thamani ya shekeli moja, na sea mbili ya shayiri ikawa na thamani ya shekeli moja, kulingana na neno la Yehova.+
16 Ndipo watu wakatoka na kuipora kambi ya Wasiria, hivi kwamba sea moja ya unga laini ikawa na thamani ya shekeli moja, na sea mbili ya shayiri ikawa na thamani ya shekeli moja, kulingana na neno la Yehova.+