2 Wafalme 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini wakasema: “Hilo si kweli! Tafadhali tuambie.” Ndipo akasema: “Aliniambia hivi, halafu akasema, ‘Yehova anasema hivi: “Ninakutia mafuta uwe mfalme wa Israeli.”’”+
12 Lakini wakasema: “Hilo si kweli! Tafadhali tuambie.” Ndipo akasema: “Aliniambia hivi, halafu akasema, ‘Yehova anasema hivi: “Ninakutia mafuta uwe mfalme wa Israeli.”’”+