2 Wafalme 12:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hata hivyo, pesa za dhabihu za hatia+ na pesa za dhabihu za dhambi hazikuletwa katika nyumba ya Yehova; zilikuwa za makuhani.+
16 Hata hivyo, pesa za dhabihu za hatia+ na pesa za dhabihu za dhambi hazikuletwa katika nyumba ya Yehova; zilikuwa za makuhani.+