1 Mambo ya Nyakati 1:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Hushamu alipokufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyewashinda Wamidiani katika eneo* la Moabu, alianza kutawala baada yake. Jiji lake liliitwa Avithi.
46 Hushamu alipokufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyewashinda Wamidiani katika eneo* la Moabu, alianza kutawala baada yake. Jiji lake liliitwa Avithi.