16 Daudi alipoinua macho yake, alimwona malaika wa Yehova akiwa amesimama kati ya dunia na mbingu akiwa ameshika mkononi mwake upanga uliochomolewa+ na kuelekezwa Yerusalemu. Mara moja, Daudi na wazee, wakiwa wamevaa nguo za magunia,+ wakajiangusha chini kifudifudi.+