19 Basi azimieni kwa moyo wenu wote na nafsi yenu yote kumtafuta Yehova Mungu wenu,+ anzeni kujenga mahali patakatifu pa Yehova Mungu wa kweli,+ ili mlilete sanduku la agano la Yehova na vyombo vitakatifu vya Mungu wa kweli+ katika nyumba iliyojengwa kwa ajili ya jina la Yehova.”+