7 Aliwaambia hivi watu wa Yuda: “Na tujenge majiji haya na kuyazingira kwa kuta na minara,+ malango na makomeo. Kwa maana nchi bado imo mikononi mwetu kwa sababu tumemtafuta Yehova Mungu wetu. Tumemtafuta, naye ametupumzisha pande zote.” Kwa hiyo kazi yao ya ujenzi ilifanikiwa.+