2 Mambo ya Nyakati 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye alileta katika nyumba ya Mungu wa kweli vitu ambavyo yeye na baba yake walikuwa wamevifanya kuwa vitakatifu—fedha, dhahabu, na vyombo mbalimbali.+
18 Naye alileta katika nyumba ya Mungu wa kweli vitu ambavyo yeye na baba yake walikuwa wamevifanya kuwa vitakatifu—fedha, dhahabu, na vyombo mbalimbali.+