2 Mambo ya Nyakati 23:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Katika mwaka wa saba, Yehoyada alitenda kwa ujasiri na kufanya mapatano* na wakuu wa mamia,+ yaani, Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.
23 Katika mwaka wa saba, Yehoyada alitenda kwa ujasiri na kufanya mapatano* na wakuu wa mamia,+ yaani, Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.