2 Mambo ya Nyakati 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo, mfalme akamwita mkuu Yehoyada na kumuuliza:+ “Kwa nini hukuwaamuru Walawi walete kutoka Yuda na Yerusalemu kodi takatifu iliyoagizwa na Musa+ mtumishi wa Yehova, ile kodi takatifu ya kutaniko la Israeli, kwa ajili ya hema la Ushahidi?+
6 Kwa hiyo, mfalme akamwita mkuu Yehoyada na kumuuliza:+ “Kwa nini hukuwaamuru Walawi walete kutoka Yuda na Yerusalemu kodi takatifu iliyoagizwa na Musa+ mtumishi wa Yehova, ile kodi takatifu ya kutaniko la Israeli, kwa ajili ya hema la Ushahidi?+