2 Mambo ya Nyakati 26:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye aliendelea kumtafuta Mungu katika siku za Zekaria, aliyemfundisha kumwogopa Mungu wa kweli. Wakati alipokuwa akimtafuta Yehova, Mungu wa kweli alimfanikisha.+ 2 Nyakati Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 26:5 w07 12/15 10 2 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 26:5 Mnara wa Mlinzi,12/15/2007, uku. 10
5 Naye aliendelea kumtafuta Mungu katika siku za Zekaria, aliyemfundisha kumwogopa Mungu wa kweli. Wakati alipokuwa akimtafuta Yehova, Mungu wa kweli alimfanikisha.+