-
2 Mambo ya Nyakati 33:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Na mambo mengine katika historia ya Manase, sala aliyotoa kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji waliozungumza naye katika jina la Yehova Mungu wa Israeli, yameandikwa katika historia ya wafalme wa Israeli.
-