Ezra 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo viongozi wa ukoo* wa Yuda na Benjamini na makuhani na Walawi—kila mmoja ambaye roho yake ilichochewa na Mungu wa kweli—wakajitayarisha kupanda kwenda kujenga upya nyumba ya Yehova, iliyokuwa Yerusalemu. Ezra Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:5 w06 1/15 17-18 Ezra Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:5 Mnara wa Mlinzi,1/15/2006, kur. 17-184/15/1992, uku. 13
5 Ndipo viongozi wa ukoo* wa Yuda na Benjamini na makuhani na Walawi—kila mmoja ambaye roho yake ilichochewa na Mungu wa kweli—wakajitayarisha kupanda kwenda kujenga upya nyumba ya Yehova, iliyokuwa Yerusalemu.