Ezra 2:70 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 70 Na makuhani, Walawi, baadhi ya watu, waimbaji, walinzi wa malango, na watumishi wa hekaluni,* wakaanza kuishi katika majiji yao. Na Waisraeli wengine wote* wakaanza kuishi katika majiji yao.+
70 Na makuhani, Walawi, baadhi ya watu, waimbaji, walinzi wa malango, na watumishi wa hekaluni,* wakaanza kuishi katika majiji yao. Na Waisraeli wengine wote* wakaanza kuishi katika majiji yao.+