Ezra 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakawapa pesa wakataji wa mawe+ na mafundi,+ na kuwapa Wasidoni na Watiro vyakula na vinywaji na mafuta ili walete mbao za mierezi kupitia bahari kutoka Lebanoni mpaka Yopa,+ kwa ruhusa ya Mfalme Koreshi wa Uajemi.+
7 Wakawapa pesa wakataji wa mawe+ na mafundi,+ na kuwapa Wasidoni na Watiro vyakula na vinywaji na mafuta ili walete mbao za mierezi kupitia bahari kutoka Lebanoni mpaka Yopa,+ kwa ruhusa ya Mfalme Koreshi wa Uajemi.+