15 ili uchunguzi ufanywe katika kitabu cha kumbukumbu za mababu zako.+ Ndipo utakapoona katika kitabu hicho cha kumbukumbu kwamba hili ni jiji lenye uasi, linalowaletea hasara wafalme na mikoa, na tangu zamani lilikuwa na wachochezi wa uasi. Ndiyo sababu jiji hili liliangamizwa.+