8 Pia, ninatoa agizo kuhusu jambo mnalopaswa kuwafanyia wazee hao wa Wayahudi kwa ajili ya kujenga upya nyumba hiyo ya Mungu: Gharama zao zote zitalipwa bila kuchelewa kutoka katika hazina ya mfalme,+ kodi inayokusanywa katika eneo lililo Ng’ambo ya Mto, ili ujenzi uendelee bila kukatizwa.+