Ezra 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wakawapanga makuhani katika makundi yao na Walawi katika vikundi vyao kwa ajili ya utumishi wa Mungu huko Yerusalemu,+ kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Musa.+ Ezra Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:18 “Kila Andiko,” uku. 13
18 Nao wakawapanga makuhani katika makundi yao na Walawi katika vikundi vyao kwa ajili ya utumishi wa Mungu huko Yerusalemu,+ kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Musa.+