22 Niliona aibu kumwomba mfalme wanajeshi na wapanda farasi watulinde dhidi ya maadui njiani, kwa sababu tulikuwa tumemwambia mfalme: “Mkono mwema wa Mungu wetu uko juu ya wale wote wanaomtafuta,+ lakini nguvu zake na hasira yake iko dhidi ya wote wanaomwacha.”+