Ezra 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 je, tuvunje tena amri zako na kufanya mapatano ya ndoa* na watu wanaotenda mambo haya yanayochukiza?+ Je, hutatukasirikia vikali na kutuangamiza kabisa, hata kusiwe na yeyote atakayebaki wala kuokoka?
14 je, tuvunje tena amri zako na kufanya mapatano ya ndoa* na watu wanaotenda mambo haya yanayochukiza?+ Je, hutatukasirikia vikali na kutuangamiza kabisa, hata kusiwe na yeyote atakayebaki wala kuokoka?