Nehemia 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mara tu niliposikia maneno hayo, nikaketi chini na kuanza kulia na kuomboleza kwa siku nyingi, nami nikaendelea kufunga+ na kusali mbele za Mungu wa mbinguni.
4 Mara tu niliposikia maneno hayo, nikaketi chini na kuanza kulia na kuomboleza kwa siku nyingi, nami nikaendelea kufunga+ na kusali mbele za Mungu wa mbinguni.