Nehemia 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sehemu iliyofuata ilirekebishwa na Meremothi+ mwana wa Uriya mwana wa Hakozi, naye Meshulamu+ mwana wa Berekia mwana wa Meshezabeli akarekebisha sehemu iliyofuata, naye Sadoki mwana wa Baana akarekebisha sehemu iliyofuata.
4 Sehemu iliyofuata ilirekebishwa na Meremothi+ mwana wa Uriya mwana wa Hakozi, naye Meshulamu+ mwana wa Berekia mwana wa Meshezabeli akarekebisha sehemu iliyofuata, naye Sadoki mwana wa Baana akarekebisha sehemu iliyofuata.