Nehemia 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Viongozi wa koo* za Walawi na za makuhani katika siku za Eliashibu, Yoyada, Yohanani, na Yadua+ waliandikishwa, vilevile makuhani, mpaka wakati wa ufalme wa Dario Mwajemi.
22 Viongozi wa koo* za Walawi na za makuhani katika siku za Eliashibu, Yoyada, Yohanani, na Yadua+ waliandikishwa, vilevile makuhani, mpaka wakati wa ufalme wa Dario Mwajemi.