Nehemia 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Je, mababu zenu hawakufanya hivyo, hivi kwamba Mungu wetu akatuletea sisi na pia jiji letu msiba huu wote? Sasa mnazidisha hasira yake inayowaka dhidi ya Israeli kwa kuitia unajisi Sabato.”+
18 Je, mababu zenu hawakufanya hivyo, hivi kwamba Mungu wetu akatuletea sisi na pia jiji letu msiba huu wote? Sasa mnazidisha hasira yake inayowaka dhidi ya Israeli kwa kuitia unajisi Sabato.”+