Esta 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alikuwa mlezi* wa Hadasa,* yaani, Esta binti ya ndugu ya baba yake,+ kwa maana Esta hakuwa na baba wala mama. Msichana huyo alikuwa mrembo na mwenye umbo zuri, na baba na mama yake walipokufa, Mordekai alimchukua na kumlea kama binti yake. Esta Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:7 w11 10/1 19 Esta Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:7 Igeni, uku. 127 Mnara wa Mlinzi,10/1/2011, uku. 19
7 Alikuwa mlezi* wa Hadasa,* yaani, Esta binti ya ndugu ya baba yake,+ kwa maana Esta hakuwa na baba wala mama. Msichana huyo alikuwa mrembo na mwenye umbo zuri, na baba na mama yake walipokufa, Mordekai alimchukua na kumlea kama binti yake.