Esta 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hamani alipoingia, mfalme akamwambia: “Afanyiwe nini mtu ambaye mfalme angependa kumheshimu?” Hamani akajiambia moyoni: “Mfalme angependa kumheshimu nani isipokuwa mimi?”+
6 Hamani alipoingia, mfalme akamwambia: “Afanyiwe nini mtu ambaye mfalme angependa kumheshimu?” Hamani akajiambia moyoni: “Mfalme angependa kumheshimu nani isipokuwa mimi?”+