13 Hamani alipomsimulia Zereshi mke wake+ na marafiki zake wote mambo yaliyompata, watu wake wenye hekima na Zereshi mke wake wakamwambia: “Ikiwa Mordekai ambaye umeanza kuanguka mbele yake ni wa uzao wa Kiyahudi, hutaweza kumshinda; kwa hakika utaanguka mbele yake.”