- 
	                        
            
            Esta 7:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
8 Mfalme aliporudi kutoka kwenye bustani ya jumba la mfalme na kuingia katika nyumba ya karamu ya divai na kumwona Hamani akiwa amejiangusha kwenye kochi, mahali alipokuwa Esta. Mfalme akasema: “Je, sasa anataka kumbaka malkia katika nyumba yangu mwenyewe?” Mara tu maneno hayo yalipotoka kinywani mwa mfalme, wakaufunika uso wa Hamani.
 
 -