Ayubu 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini akamwambia: “Unazungumza kama mmojawapo wa wanawake wapumbavu. Je, tukubali tu mambo mema kutoka kwa Mungu wa kweli, tusikubali pia mambo mabaya?”+ Licha ya hayo yote, Ayubu hakutenda dhambi kwa midomo yake.+ Ayubu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:10 Mnara wa Mlinzi,9/1/1988, uku. 10
10 Lakini akamwambia: “Unazungumza kama mmojawapo wa wanawake wapumbavu. Je, tukubali tu mambo mema kutoka kwa Mungu wa kweli, tusikubali pia mambo mabaya?”+ Licha ya hayo yote, Ayubu hakutenda dhambi kwa midomo yake.+