Ayubu 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Watu wanyoofu wananitazama kwa mshangao,Na asiye na hatia anasumbuka kwa sababu ya mtu anayemkataa Mungu.*
8 Watu wanyoofu wananitazama kwa mshangao,Na asiye na hatia anasumbuka kwa sababu ya mtu anayemkataa Mungu.*