Zaburi 48:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mambo tuliyosikia, tumejionea wenyeweKatika jiji la Yehova wa majeshi, katika jiji la Mungu wetu. Mungu ataliimarisha kabisa milele.+ (Sela)
8 Mambo tuliyosikia, tumejionea wenyeweKatika jiji la Yehova wa majeshi, katika jiji la Mungu wetu. Mungu ataliimarisha kabisa milele.+ (Sela)